إعدادات العرض
Akida- Itikadi- - الصفحة 2
Akida- Itikadi- - الصفحة 2
1- Kafaulu ikiwa atakuwa mkweli
2- “Siku bora zaidi iliyochomozewa jua ni siku ya Ijumaa
4- Hatomsitiri mja mja mwenzie duniani isipokuwa Mwenyezi Mungu atamsitiri siku ya kiyama
18- “Ewe mwanadam, maadamu unaniomba na kunitumainia, nitakusamehe uliyo nayo wala sitojali
20- Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake mtafuata nyenendo za wale waliokuwa kabla yenu
23- kanipinga mwanadamu na hakustahiki kufanya hivyo, na amenitukana na hakustahiki kufanya hivyo
26- Je mnajua ni nani aliyefilisika?
29- Atakayetundika hirizi atakuwa kafanya ushirikina
33- Hawaingii Malaika nyumba ambayo ndani yake kuna mbwa au picha
34- Hawafuatani Malaika na jamaa ambao ndani yao kuna mbwa au kengele
35- Msiape kwa masanamu, wala kwa baba zenu
36- Atakayeiapia amana basi huyo si miongoni mwetu
43- Hassan na Hussein ni mabosi wa vijana wa peponi
46- na hakika yeye hajawahi kusema hata siku moja: Ewe Mola wangu nisamehe makosa yangu siku ya Kiyama
52- Umekwisha pokea malipo yako kutokana na mema uliyoyatanguliza
56- Hakitosimama Kiyama mpaka apite mtu juu ya kaburi la mtu aseme: Natamani ningekua nafasi yake
60- Hakitosimama kiyama mpaka zama zikaribiane
65- Mauti yataletwa yakiwa kama dume la Kondoo mwenye rangi mchanganyiko ya weusi na weupe
66- Moto wenu wa Dunia ni sawa na sehemu tu ya sabini itokanayo na moto wa Jahannam
69- Mwenyezi Mungu akimpangia mja afie sehemu fulani humfanya ahitajie kitu sehemu ile
70- na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
73- Uliteremshwa Wahyi kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akiwa na umri wa miaka arobaini
74- Mayahudi wameghadhibikiwa, na Wakristo ni wapotofu
76- Hivi yule aliyemfanya atembee kwa miguu miwili hawezi kumfanya atembee kwa uso wake siku ya Kiyama?
77- Sema: Laa ilaaha illa llahu, nitakutolea ushuhuda wa kusilimu kwa maneno hayo siku ya Kiyama
79- Nenda kwamwambie: Wewe si miongoni mwa watu wa motoni, bali ni katika watu wa peponi
80- Kisha hakika bila shaka mtakuja kuulizwa kuhusu neema
82- Andika, namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hakitoki ndani yake ila haki
83- Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
100- Yeyote atakaetubebea silaha dhidi yetu, si miongoni mwetu